pete ya ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nimeokota pete ya ndoa

    Habari Wandugu nimeokota Pete ya Ndoa kama kichwa habari kinavyojielezea. Sasa nasubiri niokote mchumba tufunge ndoa tuu 😔😔😔
  2. Nimefanya uchunguzi kuanzia Kituo cha Mabasi Pugu mpaka Segerea nimegundua pete za ndoa vidoleni ni chache sana

    Nilikosa cha kufanya na bundle ilikuwa imekatika kwa simu, nikapata idea ya kuhesabu pete za ndoa vituoni na kusema kweli inaonesha wanaume wengi sana wana pete vituoni kuliko wanawake, katika kudadisi dadisi katika halmashauri ya ubongo wangu nikaja na majibu yafuatayo; 1. Wingi wa wanaume...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…