Mafao ya asilimia 33.3 hadi sasa ni kitendawili...
Je Nssf iliichangia CCM pesa zetu?
Kama hamkuchangia CCM, tupeni pesa yetu...
Mlinisumbua sana wakati nafuatilia pesa hii...
Licha ya kuwaambia kazi niliyokua naifanya sio profesional...
Ila mlishindwa kutumia busara kunipa pesa yangu...