paul christian makonda

Paul Christian Makonda (born 15 February 1982) is the former Regional Commissioner of Arusha, Tanzania. Who is currently member of parliament for Arusha.

View More On Wikipedia.org
  1. Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Christian Makonda amesema kuelekea mwaka 2030 wapo wanasiasa wengi wanaotaka kutumia shida za wananchi kupata uongozi Mkuu wa Nchi, akiahidi kushughulikia wale wote wanaopanga njama za kuharibu na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…