Hello
Najua mesoma sana thread za siasa now mnatakiwa kutuliza akili ikae sawa kidogo
Tuanze mtindo uhu ni raisi na hauli mda wako kabisa
Kwanza menya ndizi zako kisha kata style unayopenda mimi nilichanganya na viazi baada ya hapo kaanga zio ndizi na zisikauke sana
Baada ya hapo chukua...