Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram Mgombea Udiwani kata ya Mchikichi Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nurdin Bilal Juma (Shetta) ameandika:
"Tuilinde amani yetu kwa wivu mkubwa ndugu zangu watanzania !
Kwa kujitokeza kwa wingi tarehe 29 oktoba tukapige kura kwa amani tukawachague...