Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Juma Mkambala maarufu kama Jux, (@juma_jux ) ameachia wimbo mpya unaoitwa “Sexy & Bad” ambao amemshirikisha Staa wa muziki kutoka Ghana, Stonebwoy (@stonebwoy )
Wimbo huo umetoka siku chache baada ya Jux kuibua gumzo kwenye mitandao ya Kijamii kutokana na...