Nahodha wa Bafana Bafana kwenye CHAN2024, Neo Maema amepewa mkono wa kwaheri na klabu yake ya Mamelodi Sundowns baada ya kuhudumu klabuni hapo kwa miaka minne na kuifungia magoli 13, akisaidia ‘assists’ mengine 14 kwenye mechi 120.
Maema 29, raia wa Afrika Kusini ambaye anatarajiwa kujiunga na...