Tasnia ya sanaa ya maigizo nchini Tanzania imegubikwa na simanzi kufuatia taarifa za kifo cha muigizaji Mkongwe Issa Joseph maarufu Mzee Onyango.
Mzee Onyango alikuwa miongoni mwa wasanii waliotoa mchango mkubwa katika ukuaji wa maigizo ya Tanzania kupitia vipaji vyake vya uigizaji, vichekesho...