Hivi karibuni nilifanya ziara ya kustukiza Jijini Mwanza Kwa siku 4 hivi ila Cha nilichokiona kinaendelea ni masikitiko makubwa..
Ukuaji wa Jiji licha kuwa sio wa Kasi sana ila unaridhisha lakini ukuaji huo hauko regulated "Shamba la Bibi" These are my observations..
1.Hakuna mipango Miji...