Tukio hilo lilitokea majira ya saa 3:30 asubuhi jijini Paris. Wanawake hao wenye umri wa miaka 19, 24 na 36 walijeruhiwa kwa kuchomwa visu, huku mmoja wao akiwa mjamzito.
Mshukiwa, mwanaume mwenye umri wa miaka 31, mwenye asili ya kiarabu, alidhibitiwa na raia waliokuwa eneo la tukio kabla ya...