Vituko vinaendelea, hivi sasa tumefika kituo cha Kigoma Mjini kwa ACT- Wazalendo tukielekea kutiki CCM :Alien: :Alien: :Alien:
------------
Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo kutoka Kata ya Majengo, Kigoma Mjini, ameahidi kupiga kura zote tatu kwa maana ya kura ya Diwani, Mbunge na Rais kwa...