Taifa zima lipaze sauti mpaka wanaofanya uonevu waone aibu.
Kuanzia Masheikh, Maaskofu na Wachungaji, Wafugaji na Wakulima, Wafanyabiashara na Wafanyakazi. Kesho kwa pamoja tupaze sauti kubwa Mtanzania mwenzetu mpenda haki aachiwe tena akiwa mzima wa afya.
Kuandaa maandamano ya hiari kudai...