Serikali yavitaka vyombo vya habari vya nje kutozingatia weledi na taratibu za uandishi, yasisitiza nchi ipo salama
Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, amesema serikali ya Tanzania imesikitishwa na ongezeko la vyombo vya...