Kamanda wa Polisi Kinondoni SACP, Mtatiro Kitinkwi akizungumza kupitia Clouds TV, amesema; atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria kutokana na kosa alilolitenda
Soma: SACP Kitinkwi: Jeshi la polisi ndiyo linawajibu wa kuruhusu na kuzuia maandamano, na yale ya Oktoba 29 yamezuiliwa