Mchambuzi wa masuala ya siasa na uchumi, Simba Mwinyi, amesema amani ni kipaumbele cha kwanza kwa Serikali yoyote duniani, akisisitiza kuwa maendeleo hayawezi kupatikana ikiwa amani haitadumishwa.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Jambo TV leo Novemba 6, 2025, amesema:
“Serikali yoyote...