Disemba 10, 2025
Kanada inapitia upya msaada wake wa muda mrefu kwa Tanzania baada ya ukandamizaji wa kikatili uliofanywa na Polisi na Wanajeshi, ambao unaripotiwa kuua mamia ya raia waliokuwa wakiandamana kupinga uchaguzi wenye utata.
Ottawa imetoa msaada wa kimataifa wa Dola Milioni 3.4 kwa...