Ni takribani wiki mbili sasa nimekuwa na harakati katika eneo maarufu la Kwa Zena lililopo Mbezi Beach-Dar es salaam. Kuna jambo ambalo siwezi kulikalia kimya, licha ya kwamba mimi si mkazi wa eneo hilo.
Mitaro ya maji katika eneo hilo imejaa taka na maji machafu yanayotoa harufu mbaya. Hali...