Nchi yetu ya Tanzania ina maendeleo makubwa sana tangu tulipopata Uhuru na mpaka sasa tumezidi kuvuka hatua.
"Uzalendo ambao wamepewa viongozi wetu ni umetukuka na sisi Watanzania tunatakiwa kuendelea kuwaunga mkono na sio kuwabeza, wanajitoa mno.
"Sisi hatuna deni na Rais Samia Suluhu Hassan...