#KURASA
Hivi karibuni wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, waligomea kwenda mahakamani kusikiliza na kufuatilia kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu.
Kukataa kwao kwenda mahakamani haikuwa bahati mbaya, ni kuanza kuweka mgomo baridi dhidi ya Makamu...