Umeme ulianza kukatika na kuwaka mara kadhaa usiku wa manane, ilipofika alfajiri umeme ukapiga baibai my sani, ndiyo kwaheri hiyo haujarudi. Je, huko kwingine umeme upo? Kwa hali hii hayo maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yaliyoanza jana Jumapili hayataathirika?