Aisee huyu jamaa ameshindikana!
Lionel Messi leo ameandika historia mpya baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kabisa kufunga kwenye mechi 7 mfululizo za World Cup.
Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na:
🇫🇷 Just Fontaine — Ufaransa (1958)
🇧🇷 Jairzinho — Brazil (1970)
Wote walikuwa wamefunga kwenye...