Mbunge wa Bahi, Kenneth Ernest Nollo ameshauri Serikali kupunguza kodi ya kuingiza simu kutoka nje ya Tanzania ili kuwezesha Watanzania wengi kutumia simu janja kwa kuwa hali hiyo itasaidia ongezeko la Watumiaji wa intaneti.
Awali, Nollo alisema, takwimu za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TCRA) za...