Haya ni maoni yangu.
Kwa yaliyotokea leo mahakamani ni kana kwamba mawakili wa serikali wanahisi ushahidi unaotolewa na mashahidi wa upande wao hauwezi kumtia hatiani Lissu, hivyo wameamua kutaka kuingiza ushahidi unaohusu Octoba 29, kwa nia ya kuongeza substance ya kumkuta Lissu na hatia.
Mi...