Uzi huu maalumu kwa ajili ya kushare hard feelings tunazo kumbana nazo maishani.
Mimi jambo linalo niumiza maishani mwangu mpaka sasa na litaendelea kuniumiza hata nikijaribu kulikwepa ni mimi kuwa Mwafrika.
Mazee hili jambo mimi linanichoma sana na nafahamu ni kwa nini linaniumiza.
Kama...