Mgombea udiwani kata ya Vibaoni halmashauri ya Mji Handeni mkoani Tanga Marry Chambuya amewaahidi wananchi wa eneo hilo endapo watampa ridhaa ya kuwa diwani wao kwa kumchagua,atasimamia kupatikana kwa kituo cha mabasi jambo ambalo ni moja ya changamoto yao
Akizungumza kwenye mkutano wake...