Hatuwezi kuendelea kuweka mazingira mazuri kwa mafisadi. Mmeharibu sana hii nchi huku waTanzania mkiwaona wakiteketea kila siku juu ya umaskini unaowazunguka.
Pesa ambazo zilitakiwa kujenga hospitali bora zinatumika na kakikundi fulani
Pesa ambazo zilitakiwa kuhakikisha kuna barabara bora ili...
Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
Kati ya Mambo ambayo yatakuja kukiondoa Chama cha Mapinduzi madarakani ni namna ambavyo hawagawi kwa usawa keki ya taifa.
Siku Watanzania wakipata akili na kusema kwa nini hapa kwetu tunachangia hiki na hatupati hiki ndio utakuwa mwisho rasmi wa siasa za kutawala Tanzania kwa Chama cha...
Nikiwa Rais wa Tanzania serikali yangu itawezekeza kwenye maeneo matatu na naamini baada ya mda kama nchi tutakuwa na uwezo wa kukusanya usd billion 100 sawa zaidi ya Shilling Trillion 200
Michezo
Mashamba ya umwagiliaji
Viwanda vya awali- kuifanya Tanzania kuwa na better ecosystem ya smelter...