mamelodi

Mamelodi is a township northeast of Pretoria, Gauteng, South Africa. A part of the City of Tshwane Metropolitan Municipality, it was set up by the then apartheid government in 1953.

View More On Wikipedia.org
  1. Full Time: Pyramids FC 2 - 1 Mamelodi Sundowns FC | CAFCL Final | 2nd Leg | 30 June Stadium | 01-06-2025 (Ag 3 -2) Pyramids Mabingwa

    Match Day Pyramids FC Vs Mamelodi Sundowns FC | CAFCL Final | 2nd Leg | 30 June Stadium | 01-06-2025 2000hrs VIKOSI VYA LEO Pyramids Mamelodi Tukutane hapa kwa Updates zote Muhimu!! Mchezo umeshaanza! Fiston Mayele anawapatia goli safi Pyramids dakika 23 Dakika 7 zimeongezwa kufidia...
  2. FT | Mamelodi 1-1 Pyramids | Fainali ya CCL - 1st Leg | Loftus Versfeld | 24.05.2025

    Mechi ya mkondo wa kwanza ya fainali ya CAF Champions League kati ya Mamelodi Sundowns na Pyramids FC itachezwa saa kumi jioni kwenye uwanja wa Loftus Versfeld. Kaa nami hapa kwa matukio ya kusisimua kuhusu mechi hii kali Tayari Kombe lipo uwanjani Vikosi vya timu zote Mechi imeanza...
  3. Mwamuzi aliyekataa goli la Aziz K dhidi ya Mamelodi amepangwa kuchezesha fainali Simba VS RS Berkane Mei 25, Zanzibar

    CAF imemteua mwamuzi wa kimataifa kutoka Mauritania, Dahane Beida, kuchezesha mchezo wa marudiano wa fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Simba SC na RS Berkane utakaopigwa Mei 25 huko Zanzibar. Hawa ndio waamuzi wa VAR kwa mchezo wa Simba dhidi ya RS Berkane • Mkuu wa VAR...
  4. Mamelodi angetolewa na Al Ahly,Simba naye angefungwa na Stellenbosch

    Ushindi wa Simba ulitegemea ushindi wa Mamelodi Vs Al Ahly,Pyramid Vs Kaizer Endapo timu zote za South zingetolewa ijumaa,basi wadingekubali timu yao ya Stellenbosch nayo itolewe Bosi wa mamelodi ndiye bosi wa Caf ,uzalendo ungetumika tu. VAR ni kifaa cha kijinga kinachochangia ugonjwa wa...
  5. Yanga SC Yashtua Afrika sasa kuisubiri Pyramids au Sundowns!"

    Hongera sana kwa Yanga kwa kazi ya kishujaa ya kuwatoa mabingwa wa Zanzibar, timu ngumu kabisa ya KVZ! 🎉 Kwa kweli mmeonesha kiwango cha juu mno, mpaka tukabaki kushangaa. Sasa safari yenu ya kimataifa inaendelea kwa kishindo — hatua inayofuata ni kumkabili mshindi kati ya Pyramids FC na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…