makolo

Yvonne Manzi Makolo is a Rwandan IT specialist who serves as the chief executive officer of RwandAir, the national airline of Rwanda. She was appointed to that position on 6 April 2018. Prior to that, she was the Deputy CEO at the airline, responsible for corporate affairs, from April 2017 until April 2018.
On 5 June 2023, Yvonne Makolo, the CEO of RwandAir, assumed office as the Chair of the Board of Governors of the International Air Transport Association (IATA). She became the 81st chair of the IATA BoG and the first woman to take on this role, an impetus in the organ’s global initiative of driving gender balance within the aviation industry. Makolo succeeds Mehmet Tevfik Nane, Pegasus Airlines Chairperson of the Board. In her remarks, she said that leading a medium-sized airline in Africa has instilled in her a unique perspective on issues that airlines hold in common.

View More On Wikipedia.org
  1. Kivipi makolo wapo nafasi ya 5 huku vyura nafasi ya 12

    Ni hesabu gani zinatumika? πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
  2. U

    Mwigulu , Yanga tutakupa Urais 2030, tafadhali Tufungie haya Makolo Leo, Piga Hao watoto wa TFF/TPBL

    Kwakuwa Yanga tunaipenda Tanzania, NA tunaipenda Timu yetu Singida Black stars, basi kwakuwa sisi yanga population yetu ni kubwa kufikia asilimia 75 ya population ya nchi, na ukizingatia Sisi yanga ndo Wananchi wenyewe, basi sisi tuna ushawishi mkubwa, japo tunaonewa na TFF na Bodi ya Ligi ambao...
  3. Kama nyie Simba ni Wanaume kweli basi fanyeni kama Tarehe 08 March 2025

    Nawapanga kabisa Makolo, kama kweli nyie ni Wanaume na mnajikubali basi mgomee na msuse kupeleka timu uwanjani huko Amani Abed karume (Stadium) Zanzibar kama mlivyofanya kwenye mechi ya Derby 08 March 2025. Maana huku mmezoea kubebwa na mjomba wenu Karia kwa maamuzi yenu ya hovyohovyo na yasiyo...
  4. ASANTE KAMANDA WETU MTIIFU KUTEKELEZA KAZI TULIYOKUTUMA HAWA MAKOLO HAWAENDI POPOTE. IMEISHA IYO.

    Nawasilisha salama zetu za pongezi. Nimemalza.
  5. Simba sports club a.k.a makolo dunduka asilimia 100% wanaenda kutolewa na wasouth wa Stellenbosch

    Mimi tanzania Sina timu ila naongea kimpira Kuna timu inaitwa simba sipos kilabu au tuwaite mbumbumbu fc a.k.a makolo fc inaenda kuishia kwenye mdomo wa wasouth Africa ukweli usemwz wale waarabu wa Al masry ni wakulima wa mahindi pale misri hivyo wao na mpira ni vitu viwili tofauti Sasa...
  6. Makolo leo Mkishinda mnanipa Pesa,Mkipigwa mnanipa Furaha,Hivyo mtaamua nyie mnipe kipi kati ya hayo mambo mawili

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Makolo eeeeeeeee amang'ana abharisya! Amueni wenyewe Leo,nipate amasenti au mnipe Furaha 😁 Reo ndiyo siku ambayo mutake musitake razima murime Rami!😁
  7. Ukistaajabu ya Musa. Mashabiki wa Yanga wakana kuwa Simba siyo Makolo

    Wanasema tii sheria bila shuruti. Kutokana na tuhuma zinazomkabili msemaji wa Yanga Ali Kamwe, mashabiki wengi wa Yanga wamejitokeza kumtetea huku utetezi mkubwa ukiwa eti hakuna timu ligi kuu inayoitwa Kolo au Makolo. Tukumbuke Simba imeimbwa hadi katika nyimbo za Yanga kama Kolo au Makolo...
  8. Tujikumbushe Miaka Hiyo Makolo Walipokuwa Kwenye Relegation Ponapona Yao Waliokolewa Na Mwananchi

    Hii ndiyo Ile tukawambiaga mtani alitaka kushuka daraja kama mnakumbuka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Follow #CRIX ORG πŸ™πŸ™
  9. Makolo mnalia nini kutoa sare na wakati nyie wenyewe mlisema mnajenga timu

    Maendeleo yoyote yana gharama zake na kilichotokea leo ndio matokeo ya maendeleo hayo. Sasa nawasihi muendelee kushikamana swala la ubingwa muliweke pembeni nyie endeleeni na project yenu. NAtabiri maneno yatakayoanza sasa -GSM ana dhamini timu nyingi -Bahasha zinatembea (zitatembea mpaka tar...
  10. Haji Manara: Makolo hawatotufunga hadi 2030, Samia atoke Madarakani

    Mashaki wa Mnyama, Simba mmemsikia msemaji wenu wa zamani?, Haji Manara akiwa Wasafi Fm amesema Makolo hawatotufunga hadi 2030, Samia atoke Madarakani "Naomba Watu waelewe Ule wimbo wa 'Yanga inafungwaje' haujaimbwa kwaajili ya Tabora au Timu nyengine ule umeimbwa kwaajili ya 'Makolo' kwahiyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…