Nina mtoto wa mwezi mmoja lakini naona kama macho yake hayako sawa!
Kuna mtu kaniambia unamuwekea poda chini ya macho itarekebisha….Lakin napata wasiswas
Nimejaribu kugoogle mtandaoni lakini naona kama njia zao zipo complicated!!
Ushauri
ULIOBASE KWENE EXPERIENCE NI BORA ZAIDI