Wakuu,
Kuna taarifa njia ya reli ya TAZARA imeharibika. no pictures please.
Upuuzi huu na mwingine kama migao ya umeme tutaisikia sana baada ya Dr. Magufuli lakini tujue kama ambavyo Dr. Magufuli hakuishi milele basi na huyu aliepo hatoishi milele.
Sisi Wananchi wa Tanzania hatutaki tozo bali...