Mkuu wa Mkoa wa Arusha na mwanachama nguli wa Klabu ya Simba, Amos Makalla, amepinga vikali taarifa za uteuzi wake kuwa Mjumbe wa Baraza la Wadhamini la Klabu ya Simba SC, akitangaza kuwa mchakato huo ni batili.
Soma: Magori: Kikao cha Bunju ni batili, haukuwa Mkutano Mkuu rasmi wa Simba...