Mh Rais ni wiki ya maji lakini kinyerezi hatuna maji.
Tumewalilia watendaji wa ukanda huu bila mafanikio.
Inavyoonekana upande huu unachangamoto na inakinzana nanmamlaka.
Mh Rais hii inavyoonekana hata waziri ameshindwa badala yake amekemea jambo bila kujua tatizo.
Tunapokea maji kutoka...