Maelfu ya waandamanaji walimiminika mitaani jijini Douala, mji mkuu wa kiuchumi wa Cameroon, siku ya Jumapili Oktoba 26, 2025 wakijibu wito wa kitaifa uliotolewa na kiongozi wa upinzani, Issa Tchiroma Bakary. Waandamanaji wengi wakiwa ni vijana, walipita katika mitaa mikuu ya jiji hilo wakitaka...