maandamano ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Siku ya Kwanza ya Maandamano CCM tumeshashindwa vibaya mno. Hivi hatuna watu wa strategies Lumumba? Hawa Gen Z mnawapaje ushindi kirahisi?

    Kwa mtu yeyote anadhani maandamano hayakufanikiwa D9 basi sina shaka hata akili ya kucheza drafti hana. Situation iliyokuwepo D9 imetuma message na imekuwa delivered kwa kishindo kikubwa sana, Gen Z wapo kwenye WIN WIN situation, wakitangaza kuandamana na serikali ikiweka lockdown ni win ✔️...
  2. Maandamano ya Mabango kumtoa Rais Afrika ni kupoteza muda

    Mimi binafsi naona kama maandamano ya amani ni ujinga na kupoteza mda. Africa huwezi mtoa mtawala Kwa maandamano ya kubeba mabango naamini Desemba 9 watakufa watu na hamna kipya kitakachotokea yaani adui anabeba bunduki wewe unabeba bango. Eti ukamtoe sifanyi huu ujinga mimi watu wamekufa kama...
  3. LGE2024 Arusha: Wana CCM waandamana mpaka Makao Makuu ya CCM Arusha kupinga matokeo ya kura za maoni. Makada wajipanga kunyimana kura!

    Wakuu Mambo yanaonekana kuwa si shwari huko ndani ya Chama Cha Mapinduzi kama tunavyoaminishwa Siku ya leo wanakijiji wa Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumpitisha Rasuli Mshana kwenye kura za maoni WanaCCM hao...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…