maadili ya watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Afande awapa makavu wazazi: Maadili ya watoto wa Mlandizi yameporomoka sana chanzo nyie "mnacheza uchi mbele ya watoto"

    Maadili ya watoto wa Mlandizi yameporomoka sana, akibainisha kuwa "watoto wadogo wa shule ya msingi wanajua mambo ya k*******". Anahoji watoto wanapata wapi mambo hayo ikiwa sio kwa wazazi wao ambao wanafanya vitendo viovu na kuwaambukiza watoto. "Nini maana ya shughuli? Shughuli ni kwenda...
  2. JamiiForums Tanzania Wazazi hawana aibu ndio maana watoto hawana adabu

    Mtu akisha kosa aibu anaweza fanya au ongea jambo lolote lile. 1. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kuozesha binti yao na akawa sio bikra, now si aibu. 2. Ilikuwa ni aibu mtoto kuzalia nyumbani bila ndoa sasa si aibu tena. 3. Ilikuwa ni aibu kwa wazazi kupokea mali yoyote kwa mtoto wao bila kujua...
  3. JamiiForums Tanzania Chatanda: Wazazi zungumza na watoto wenu kulinda maadili

    Jumuiya ya Wanawake CCM (UWT) imeungana na Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii katika kuadhimisha Siku ya Familia Duniani, ikiwataka wazazi kuungana katika suala la malezi badala ya kumwachia mzazi mmoja. Hayo yamezungumzwa leo Mei 15, 2024 jijini Dodoma na mwenyekiti wa UWT, Mary...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…