leseni ya madini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PreGE2025 Leseni 1356 za madini zatolewa Kahama, Wachimbaji wahamasika kuachana na Zebaki

    JUMLA ya leseni 1356 zimetolewa katika halmashauri tatu za Mkoa wa Kimadini Kahama ambazo ni Ushetu, Msalala na Kahama huku wazawa na wawekezaji kutoka nje wakitakiwa kuchangamkia fursa zilizopo mkoani humo. Akizungumza Afisa Madini Mkazi wa Kahama Leons Welengeile amesema, leseni za utafutaji...
  2. KERO Mining Cadastre Map ya Wizara ya Madini haipatikani

    Nilipotaka kuthibitisha taarifa kuhusu leseni za kuchimba madini ya lithium nchini niligundua ramani ya "Mining Cadastre" haipatikani tena. (http://portal.madini.go.tz/map/) Wizara ya Madini wanataka tusipate access ya taarifa ya msingi hizi tena au kuna changamoto ya mfumo wa TEHAMA kwao...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…