Kufuatia kuondolewa ushuru kwa asilimia 98 ya bidhaa zinazoagizwa kutoka nchi 9 za Afrika mwezi Septemba, kuanzia tarehe mosi, Disemba, China haitatoza ushuru wa asilimia 98 za bidhaa za nchi nyingine 9 za Afrika zikiwemo Tanzania na Uganda.
Kurahisisha biashara ni njia muhimu ya kuzisaidia...