Unapokuwa unataka kutimiza Malengo fulani.
Mfano, kitaaluma , kibiashara , uwekezaji , kikazi, Ndoa .
Hakikisha kwanza hauweki deadline au ukomo wa lini , mwezi gani au mwaka gani.
Kwakuwa in this life so many things are uncertainties .
Mambo mengi hayatabiriki kimaisha .
Ili kuondoa stress...