Kwa sisi tulioko marekani tunajua nguvu ya USA. Ukitaka kujua nguvu ya USA muulize Waziri mkuu wa Uingereza, kitendo Cha kukataa kutoa Airbase za UK kutumiwa na US air force, ilikuwa mistake kubwa sana. UK ilimtuma mfalme Charles Kwa Trump kuomba samahani.
Nguvu ya US wanaijua Cuba, Zimbabwe...