Hio ilikuwa mbinu yake tu ya kutafuta huruma na kuudanganya uma! Lakini silku watanganyika wakiujua ukweli wanaweza kumfuturu bila vinegar wala kachumbari
https://x.com/TanzaniaLeaks/status/1971890010950607137?t=HWkfFY_B8gMCBa-hQJwSFg&s=19
TAARIFA KWA UMMA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuujulisha umma kuwa kimepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa zinazodai kuwa Mhe. Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, kuna mipango ya kuwekewa sumu akiwa kizuizini.
Taarifa hizi zimetolewa usiku huu wa leo, tarehe 02...