Hili ni tatizo kubwa sana ila wanaume wengi wamekuwa waoga kuweka wazi, unamkuta jamaa ni pande la jitu lakini room anaenda mwezi hapewi show, kuyaweka mambo haya wazi ni kitu ambacho kwa tamaduni zetu za kiafrika ni stigma, ni sawa na kulalamika mke wako anakupiga, utachekwa.
Lakini ukweli...