Watanzania kunufaika na Biashara Mtandao kufikia 2025.
"Lengo letu kufikia 2025 zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania tuwafikie kwa mawasiliano ya Internet na hadi 2025 tuwe tumeweka mazingira wezeshi ya biashara mtandao (E-commerce)".
Ameyasema hayo Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari...