kitabu cha quran

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Dai la kwamba Qurโ€™an haijawahi kubadilika ni ukweli wa kihistoria au ni imani tu unalishwa?

    ๐”๐œ๐ก๐š๐ฆ๐›๐ฎ๐ณ๐ข ๐ฐ๐š ๐๐๐š๐ง๐ข ๐ฐ๐š ๐ƒ๐š๐ข ๐ฅ๐š โ€œ๐๐ฎ๐ซโ€™๐š๐ง ๐‡๐š๐ข๐ฃ๐š๐ฐ๐š๐ก๐ข ๐Š๐ฎ๐›๐š๐๐ข๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ฐ๐šโ€ Waislamu wengi hudai kuwa Qurโ€™an ni kitabu pekee cha dini duniani kilichohifadhiwa kikamilifu bila kupotea hata herufi moja tangu kilipoteremshwa. Hata hivyo, makala hii inalenga kuhoji dai hilo kwa kutumia vyanzo vya Kiislamu...
  2. JamiiForums Tanzania Quran ya Allah ni kitabu kisichokuwa na shaka

    Mtume alishushiwa Quran miaka 600+ baada ya Uyahudi na Ukristo kuwepo. Kwa mtindo wa Wahyi na mara 2 kwa kuonana ana kwa ana na Jibril. Swali langu, 1. Imewezekanaje Quran kuwe na visa vya wana wa Waisrael. Ina maana na vywenyewe Mohamed alikuwa anaoteshwa?. (Yona au Yunus, ibrahim , sodoma na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ