Mkuu wa Wilaya ya Makete mkoani Njombe, Kissa Kasongwa, ameagiza mkandarasi wa mradi wa maji wa Ipelele kufika ofisini kwake haraka ili kutoa maelezo ya kina juu ya kusuasua kwa utekelezaji wa mradi huo, licha ya serikali kutoa fedha zote zinazohitajika.
Akizungumza baada ya kusikiliza kero za...