Wakuu habari za weekend,
Samahani kwa nitakae mkwaza namna yoyote ile. Wakubwa kama mnavyoja dunia ya sasa yataka kupambana kweli kweli. Sasa mwenzenu nimechoka na haka kamshahara ka laki na nusu huku nikiwa na mtoto, wazazi wanaotegema chochote kutoka kwangu. Sasa nataka kujikita kwenye kilimo...