Wakili William Maduhu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) akizungumza katika mahojiano na Jambo TV leo Machi 19, 2026 ameongelea kuhusu ucheleweshwaji wa kesi kusikilizwa licha ya serikali kuongeza ajira za majaji wapo wengi, pia kuhusu mtuhumiwa kuwekwa rumande kwa muda mrefu...