Mjumbe wa NEC Richard Kasesela amesema Wajumbe wanapaswa kuwachagua viongozi ambao licha ya kazi yao watazingatia Utu .
Kasesela amesema Kazi na utu ndizo nguzo huku akisema unaweza fanya kazi sana ukakosa utu itapelekea kubwagwa.
Ikumbukwe hii ni kauli mbiu Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, ambapo...