Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa Tisa kwa tuhuma za kujiingizia fedha kwa njia zisizo halali kupitia mitandao ya kijamii pamoja na simu za mkononi, kawa kuwarubuni wananchi
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya kamishina msaidizi mwandamizi...