Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa unatarajiwa kufanyika kesho, Oktoba 29, 2025, ikumbukwe Tume ya Uchaguzi ilipuliza kipyenga cha kuanza kampeni za wagombea wa urais zilizodumu kwa zaidi ya miezi miwili, ni vyema kwa ufupi tukamulika kipindi hiki ambacho kinahitimishwa leo...