Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza Tenda ya Kusambaza, Kufunga, na Kuboresha Mfumo wa Kamera za Ulinzi (CCTV) kwenye mabehewa ya abiria ya Reli ya Kisasa (SGR).
Tenda hiyo inahusisha;
Kusambaza kamera maalum za reli (4 MP IP CCTV), mifumo ya kurekodi picha (8-Channel NVRs), na vifaa...